Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bob Junior amtaja mtu anayetakiwa kupendwa

Monday , 19th Aug , 2019

Rais wa masharobaro Raheem Rummy "Bob Junior" amefunguka sababu zinazopelekea kuachana na wapenzi wake na mahusiano yake na staa wa filamu Kabula.

Bob Junior

Bob Junior amefunguka kuwa sababu za kuachana na wapenzi wake wengi kwa muda mfupi ni kuendana ambapo amesema,

''Mahusiano yakianza yanakuwa na nguvu kubwa, mimi ninachoangalia huwa kuna Bob Junior na Raheem kwa hiyo unakuta wanawake wengi wengi wanaingia kumpenda Bob Junior kwa sababu ni staa na wala sio Raheem ndio maana unakuta mahusiano yanavunjika".

Aidha Bob Junior amezungumzia suala la kuwa na mahusiano na staa wa filamu Kabula kwa kusema ni dada yake, rafiki yake hajawahi hata kum-kiss na amesema Kabula  amebadilika amekuwa mtu wa dini na amemtanguliza Yesu mbele.

Pia Bob Junior ameeleza kuwa amekuwa kimya kwa sababu alimua kusoma kwa siri nchini Finland alipo baba yake, na amefanya hivyo kwa manufaa ya familia yake, wazazi wake na kizazi chake cha baadaye.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine