Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rihanna amtolea uvivu Donald Trump

Monday , 5th Aug , 2019

Mwanamuziki na mfanyabiashara duniani Rihanna, amemtolea uvivu Rais wa Marekani Donald Trump, kwa kutochukua hatua yoyote baada ya kutokea shambulio la kigaidi nchini humo.

Rihanna aliandika kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram kuwa, "yametokea matukio mawili ya kigaidi kwenye nchi yako, watu karibia 30 wasio na hatia wamepoteza maisha, sasa hivi imekuwa rahisi mtu kununua silaha kama AK-47  ili akafanye shambulio kuliko kupata Visa''.

Rihanna aliendelea kuandika kuwa Dunia inaifikiria Marekani ndio Nchi inayoonekana kufuga magaidi na majambazi kutokana matukio yaliyotokea wikiendi hii.

Siku ya Jumamosi na Jumapili watu 29 walifariki dunia kwa matukio tofauti ya kushambuliwa kwa risasi katika miji ya California na Texas, lakini hadi sasa Donad Trump hajachukua hatua yoyote zaidi ya kutoa pole kwenye mtandao wa Twitter.

Ndani ya mwaka huu pekee nchini Marekani watu 293 wameuwa kwa shambulio la risasi, na jumla ya watu 1072 wamejeruhiwa kwa shambuli hilo.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali