Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Sitaki kuharibika ukubwani' - Mwana FA

Sunday , 4th Aug , 2019

Msanii nguli wa Hip Hop nchini, Mwana FA amesema wasanii wengi wamekuwa wakijibu kashfa mbalimbali zinazowakumba katika kutafuta kiki.

Mwana FA amesema hayo kwenye Friday Night Live “FNL” ya EATV, baada ya kuulizwa kuhusu kukwepa kwake kujibu kashfa anazohusishwa.

Nikiwa na kashfa nitaijibu, bahati nzuri Mungu amenisaidia sinaga kashfa, kuna kashfa zinazokuja tu na ambazo zinatengenezwa, miaka yote hii nimekuwa nimefanya ninachofanya bila kashfa na ukianza sasa hivi unakuwa unaharibikia ukubwani kashfa haziendani na mimi”, amesema Mwana FA.

Aidha msanii huyo ambaye ni mjumbe wa bodi ya Baraza la sanaa la Taifa, amezungumzia suala la BASATA la kuonekana katika matukio ya kinidhamu kama kuwafungia wasanii kuliko matukio mengine.

BASATA lina vitu vingi sana kama kusimamia sera ya sanaa ya Taifa, sheria zinazoongoza na yeye ni mjumbe tu wala sina mamlaka ya kuwaamrisha viongozi, kuhusu kutoa adhabu au kufungia nyimbo za wasanii” amesema Mwana FA

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali