Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mary Nagu ajivunia Namthamini

Thursday , 1st Aug , 2019

Mbunge wa Hanang Mh Mary Nagu, ameipongeza East Africa Television na East Africa Radio kupitia kampeni ya Namthamini na kudai kuwa tangu ameshiriki kwenye mwaka wa kwanza amekuwa akiona mafanikio ya kampeni hiyo.

Timu ya Namthamini ikiwa na Mbunge wa Hanang Mary Nagu (katikati) ofisini kwake Hanang.

Akiongea ofisi kwake mbele ya timu ya Namthamini ambayo ilikuwa wilayani humo kwaajili ya kugawa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule za Sumaye na Simbay, Nagu amesema anajivunia kampeni ya Namthamini kwani inatengeneza viongozi wanawake wa baadaye.

''Nakumbuka nilishiriki kwenye awamu ya kwanza, na tangu hapo nimekuwa nikifuatilia mnavyoendelea kuwathamini wasichana wetu shuleni kiukweli ni jambo la kupongezwa na msiache endeeleni hivyo hivyo na sisi tutawaunga mkkono kadri tunavyoweza'', amesema.

Kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2019, imefanikisha wanafunzi wa kike zaidi ya 300, kupata taulo za kike kwa mwaka mzima ndani ya  Wilaya ya Hanang.

Wanafunzi hao wanatoka katika shule ya sekondari Simbay ambayo ni ya kutwa pamoja na shule ya sekondari Sumaye ambayo ni ya kutwa na bweni. Wasichana takribani 70 wanaotoka mbali wanakaa bweni.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine