Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AY, Mwana FA waelezea ugumu wa ndoa za mastaa

Tuesday , 30th Jul , 2019

Wasanii wakubwa na marafiki wa muda mrefu kutokea hapa nchini Tanzania AY na Mwana FA, wametoa somo kwa watu wote kuhusu maisha ya urafiki wao pamoja na maisha ya ndoa zao.

AY, Mwana FA na watangazaji wa Supa Mix ya EA Radio, Mariam Kitosi na Zembwela

Wakiongea hayo kupitia Super Mix ya East Africa Radio, AY na Mwana FA waliulizwa kuhusu ugumu wa mastaa kuishi katika ndoa, urafiki wao na maisha kiujumla, ambapo Mwana FA amesema,

Kuna ugumu wa ustaa na maisha ya ndoa, ugumu upo hasa unapotaka kujichanganya na watu, kuna wakati mwingine huwezi kuongea na simu usiku, sababu ya mke wangu kwa sababu huwa najua niko kwenye upande wa familia”.

Baada ya kusema hivyo, AY naye akazungumzia kuhusu urafiki wao akisema urafiki ni lazima watu wafahamiane na wakubaliane, kutokuwa wabinafsi, kumfikiria mwenzako kwenye upande wa maendeleo. Pia akaendelea kusema yeye na Mwana FA walianza urafiki wao tangu mwaka 2002, pia urafiki wao umechangia kuleta mafanikio na maendeleo.

Aidha kuhusu maisha yao binafsi, wawili hao huwa wanatofautiana lakini kila mmoja anasimamia misimamo yake, ndiyo maana kila mtu anaficha kasoro za mwenzake, pia ni ni kutokana na historia ya maisha yao inayofanana.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine