Hi wadau wa eNewz? Call me Mr Stanley Mwani nikiwa Wajanja Classic Team Kahama, Five kwa Muddy Besty, Young Waleo, Samwel Mahona, Kasanga Mrisho, Shadrack Mafie na Baracka Chambi.
Salim wa Mbezi Mwisho
Naitwa Salim wa Mbezi Mwisho, holla 5 kwa my young sister akiwa palee St. Mathew na familia kwa ujumla. Enewz mpo juu thana, hollaaaaaaaaa....!!.
Mama Tanya na Calen
Naitwa Mama Tanya wa Tegeta Msichoke, nikiwa nimetokelezeaa na Mjukuu wangu wa ukweli Caleni. Tunawapa HI Mama Masha, Ma' Elimina, Ma' Rafa, Ma' Sofi, Ma' Ima pamoja na Athumani Manile wa Tegeta.
Todo Bien
Todo Bien to all my friends @ Mwanga Sec and Mbezi beach high school. eNewz Wanawakilisha, Chief D.