Bonta Maarifa
Bonta pia ameeleza kuwa, uzoefu alioupata kupitia kuachia kazi kama hii pia umemfunza juu ya namna ambavyo watanzania wengi wapo katika hatari ya kuathiriwa na sheria mpya ya mitandao, kutokana na wepesi wao wa kutukana nakutoa maamuzi kwa mtazamo wa juu juu.
Kwa kuanzia Dr... hali ilikuaje?
