Friday , 4th Sep , 2015

Nyota wa muziki Nuh Mziwanda ameeleza kuwa, katika ngazi aliyofikia hafikirii kufanya kazi na meneja kutokana na kuelewa mahitaji ya nafasi hiyo na gharama zake kwa Tanzania kukiwa na uchache wa wasiamiaji muziki wenye uwezo wa kufanya kazi hiyo.

Nuh Mziwanda na Shilole

Nuh amesema kuwa, kwa msanii kusimamisha meneja inahitaji pande zote mbili zinafaidika, akiweka bayana changamoto anazokumbana nazo za kuendesha muziki wake peke yake, ikiwepo kuchoka sana na kushindwa kupata wazo la kufanya muziki mpya.