Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Twiga Stars yaja kivingine kuisaka AFCON ya Ghana

Tuesday , 23rd May , 2017

Timu ya soka ya wanawake 'Twiga Stars' imeanza maandalizi na mchujo wa kupata wachezaji watakaoweza kuungana na kikosi cha timu ya wakubwa kwaajili ya kujiandaa kufuzu michuano ya AFCON inayotarajiwa kutimua vumbi mwakani nchini Ghana.

Wachezaji wa Twiga Stars wakiwa katika mazoezi

Hayo yamebainishwa na Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Edna Lema ambaye amesema kwamba baada ya kuanza kambi rasmi watajitahidi kucheza michezo ya kujipima ubavu na timu zenye uwezo kisoka ikiwemo nchi za Nigeria, Ivory Coast pamoja na Ghana.

"Tumeita wachezaji 45 na baada ya wiki moja tutachuja wachezaji tutabakiwa na wachezaji 25 mpaka 30 ambao katika timu hiyo hiyo tutakuwa na wachezaji watakaocheza U-20 na wengine watacheza ile timu ya wakubwa...Tuna programu ya kucheza mechi za kirafiki lakini siyo kwa mazoezi tunayoyafanya kwa sasa". Alisema Edna

Kocha huyo aliendelea kwa kusema "Mazoezi tunayoyafanya kwa sasa  ni kwa sababu sasa hivi kikubwa tunachoangalia ni kufanya mchujo kwa ajili ya kupata wachezaji watakaotusaidia baadaye, baada ya hapa kambi itakayofuata tutaomba mechi mbili au tatu tuweze kuona ni wachezaji wa aina gani ambao tumewapata na ambao tunao ili waweze kutusaidia katika kampeni zetu za kwenda kucheza AFCON mwakani nchini Ghana,"

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali