Katika mechi ya mwanzo iliyofanyika wiki iliyopita katika viwanja vya CCM Kirumba Jijini Mwanza, Taifa Stars vs Amavubi ilimalizika kwa sare ya 1-1.
Taifa stars inatakiwa kushinda mechi ya leo au kutoka sare ya 2-2 au zaidi ili kuweza kuendelea katika hatua inayofuata.
Kikosi cha Taifa Stars kitakachoanza leo dhidi ya Amavubi leo Jijini Kigali, nchini Rwanda,
1. Aishi Manula
2. Boniphace Maganga
3. Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Salim Mbonde
6. Himid Mao
7. Simon Msuva
8. Mzamiru Yassin
9. John Bocco
10. Raphael Daudi
11. Shiza Kichuya
Kikosi cha akiba
12. Said Mohamed
13. Hassan Kessy
14. Nurdin Chona
15. Salimin Hoza
16. Said Ndemla
17. Joseph Mahundi
18. Stamili Mbonde



