Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba haichomoki Jumamosi - Salum Mkemi

Wednesday , 22nd Feb , 2017

Tambo zimeendelea kuvuma kuelekea mpambano wa watani wa jadi Simba na Yanga siku ya Jumamosi, ambapo leo hii Mjumbe wa kamati ya mashindano ya Yanga SC , Salum Mkemi amesema siku hiyo Simba hawachomoki, na ni lazima wafungwe.

Salum Mkemi

Mkemi amefunguka na kusema kuwa hakuna namna nyingine zaidi ya timu yake hiyo kuibuka na ushindi mnono dhidi ya Simba kwenye mchezo huo wa ligi kuu bara ambao ni wa marudiano baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya mzunguko wa kwanza.

Akiongea na waandishi wa habari jijini Dare es Salaam, Salum Mkemi amesema Yanga wamejipanga vyema kila idara na kudai watazidi kuongeza idadi ya makombe kila mwaka kwa kuibuka na ubingwa wa ligi hiyo msimu huu.

"Tumejipanda kikamilifu kila idara kuhakikisha tunaibuka na ushindi siku ya Jumamosi mbele ya watani wetu wa jadi Simba SC, haya ni makombe yetu na tutazidi yaongeza kila mwaka hivyo hakuna njia nyingine kwetu kuelekea mchezo wetu huo zaidi ya ushindi tu," alisema Salum Mkemi

Aidha Bw. Mkemi aliendela kusema kipigo watakachokipata Simba si cha kawaida na ndiyo itakuwa mwisho wa timu hiyo kushiriki mashindano hayo kwakuwa itashushwa daraja.

Hata hivyo Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF), limewatahadharisha mashabiki kuacha kuingia na mabango yenye uchochezi wa aina yeyote au kumtaja kiongozi wa serikalini. 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine