Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nitawaaga Yanga kwa amani - Niyonzima

Friday , 26th May , 2017

Kiungo wa kimataifa wa Rwanda anayekipiga katika klabu ya Dar es Salaam Young Africans (Yanga) Haruna Niyonzima amefunguka na kusema yeye atawaaga wana Yanga kwa amani wakati huo utakapofika kwa kuwa ameishi nao kwa muda mrefu kwa upendo na amani.

Haruna Niyonzima

Niyonzima alisema hayo baada ya tetesi kuzuka kuwa msimu ujao hatakuwa tena Yanga na kuwa atakwenda kukipiga katika klabu nyingine ndipo hapo aliposema kwa sasa hayupo kwenye nafasi nzuri ya kulizungumzia jambo hilo ila kama litatokea basi ataagana vizuri na klabu hiyo ambayo ameichezea kwa muda mrefu.

"Hilo suala siwezi kulizungumzia sana unajua Yanga ni timu ambayo nimekaa nayo na ninaiheshimu, ni timu ambayo nimeweza kudumu kwa miaka mingi hivyo naamini nikija kupata fursa ya kutoka au kuondoka kwenda sehemu nyingine naamini wana Yanga nitawaaga kwa amani na vizuri kabisa lakini kwa sasa siwezi kuzungumza chochote" alisema Niyonzima 

Katika msimu wa ligi ambao umemalizika wiki iliyopita Haruna Niyonzima aliyanyakua tuzo ya mchezaji bora wa kigeni. 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine