Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Iniesta atua Japan kwa miaka miwili

Thursday , 24th May , 2018

Baada ya kuitumikia Barcelona kwa muda mrefu  tokea akiwa kinda, Andres Iniesta leo hii ametangaza kujiunga na klabu ya Vissel Kobe ya nchini Japan kwa muda wa miaka miwili.

Iniesta amekua nahodha wa Barcelona tangu mwaka 2015 na mwaka jana alisaini mkataba wa maisha kuitumikia klabu hiyo.

Iniesta alitangaza kwamba angeondoka katika klabu ya Barcelona baada ya msimu wa ligi kuu ya Hispania kumalizika baada ya misimu 16 ndani ya Catalunya. 

Timu hiyo ya Vissel Kobe katika ligi ya J-League ipo katika nafasi ya 6 baada ya michezo 15, ilimsajili Lucas Podolski mwaka uliopita lakini mshambuliaji huyo atakua nje mpaka mwishoni mwa mwezi Juni baaada ya kupata majeraha.  

Mkurugenzi Mkuu wa Wadhamini wakuu wa Barcelona, Mikitan amesema kuwa hakuna asiyefahamu kuwa Iniesta kaitumikia klabu hiy kwa mafanikio na kumtakia kila la kheri mchezaji huyo

‘Iniesta ni mchezaji wa dunia, wengi wetu wanakumbuka goli lake alilofunga katika michuano ya Dunia Afrika Kusini ambalo liliiletea Hispania Kombe hilo kwa mara ya kwanza”, amesema Mikitan

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali