Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Balaa la majeruhi Yanga

Saturday , 12th Aug , 2017

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Godfrey Mwashiuya ataukosa mchezo wa pili mfululizo katika mechi za kirafiki ikiwa leo Yanga itashuka dimbani dhidi ya Ruvu Shooting kwa ajili ya maandalizi ya msimu huu kufuatia jeraha linalomsumbua.

 

Mwashiuya kupitia katika ukurasa wake wa instagram amewaomba mashabiki wake na wadau wa soka kumuombea ili apone na kuweza kujiunga na kikosi chake kwenda kupambana ili kufanya vizuri katika msimu mpya wa ligi unaotarajiwa kuanza siku za hizi karibuni. 

"Naombeni maombi yenu jamani,  nasumbuliwa na mguu" - alisema kiungo huyo.

Aidha klabu ya Yanga itashuka dimbani dhidi ya Ruvu Shooting leo ikiwa ni mechi ya pili ya kirafiki katika uwanja wa Azam Complex, Chamanzi saa kumi Jioni. Yanga baada ya kumaliza mchezo wa leo kesho watakipiga tena na klabu ya Mlandege FC Zanzibar na baada ya hapo watakwenda visiwani Pemba kuweka kambi ya wiki nzima kujianda na mchezo wa ngao ya jamii utaokaofanyika Agosti 23 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine