
Viungo matata wa Klabu ya Manchester United, Paul Pogba (Kulia) na Bruno Fernandes wakipongezaka kwa kazi nzuri.

Wasanii wa filamu kulia ni Aunty Ezekiel na kushoto ni Wema Sepetu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jaffo katika moja ya majukumu yake ya Kitaifa.

Rais Magufuli na Mgombea Mwenza Samia Suluhu wakichukua fomu

Staa wa Los Angeles Lakers, Lebron James katika moja ya mchezo wa NBA.

Winga wa Inter Mila, Alexis Sanchez akiwa kwenye majukum ya kuitumikia klabu yake.

Mkuu wa kitengo Cha mawasiliano na Uenezi wa NCCR Edward Simbeye

Beki Ibrahim Mohamed (Pichani) akisaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Simba.

Wakili Mkuu wa Serikali Gabriel Malata akisisitiza jambo wakati akizungumza na wa habari leo.