Friday , 2nd May , 2014

Wanamuziki wa Injili wa Kenya Willy Paul na Ruth Wamuyu watapanda kwenye altare leo kumtukuza Mungu kwa nyimbo zao huko Atlanta, Georgia Marekani.

Waimbaji hao wawili wa Injili wataimba katika Kanisa la Jamii ya Kenya Inayoishi Marekani, huko Marietta kuanzia leo hadi tarehe nne.

Balozi wa Kenya katika Umoja wa Mataifa, Macharia Kamau anatarajiwa kuhudhuria kushuhudia Willy Paul na Ruth Wamuyu wakimuimbia bwana jumapili hii.

Tags: