Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Weusi tumeacha ushamba : Joh Makini

Wednesday , 28th Jun , 2017

Rapa kutoka Weusi Kampuni, Joh Makini amefunguka kuwa kampuni yao kwa sasa haina ushamba tena kwenye muziki kwa kuamini kuwa video ndiyo inaweza kukuza muziki wao na kuwapeleka sehemu kubwa zaidi.

Wasanii kutoka Weusi, Kushoto ni G Nako, katikati ni Joh Makini na kulia ni Nikki wa Pili

Akizungumza na eNewz Joh Makini, amesema kuwa anacho amini kwenye muziki ni ladha ya muziki mzuri 'audio' ndiyo inaweza kuuza muziki huo japokuwa ni vizuri muziki ukiwa na video.

“Mimi naamini kitu cha kwanza kwenye muziki ni audio, Ndiyo maana unaona watu zamani tulikuwa tunapiga audio strong na ilikuwa inauza..., Watanzania wameshaacha ushamba wa picha ndio maana hata ukitoa video kali kama audio sio nzuri ngoma inakufa” Amesema Joh Makini.

Katika hatua nyingine Joh Makini amefunguka kuhusu suala la mashabiki kutumiana nyimbo kupitia mitandao na kwamba  watumie njia sahihi  ili kusapoti kazi za wasanii wanaowakubali.

“Watu waache kutumiana audio kwenye Whats App au makundi halafu kwenye interview unakuta mtu anaulizwa album lini, kama umeshindwa kununua ngoma moja mtandaoni utawezaje kununua album?”  Joh Makin alisema kwa mtindo wa kuhoji.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali