Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

#VIDEO Lulu kuigiza maisha!?

Friday , 18th Aug , 2017

Msanii wa bongo fleva  Lulu Diva ameibuka na kuwachamba watu wanaomuongelea vibaya  juu ya vitu vya gharama na magari anayotumia kuwa ni ya kuazima kwa kusema kwamba wengi wanaomzungumzia wana maisha duni .

Msanii Lulu Diva

Akipiga story na eNewz ya EATV Lulu amesema  yeye ni mtafutaji hivyo siku zote anafanya kazi kwa bidii kuhakikisha kwamba anaishi maisha anayohitaji na siyo kuigiza maisha kama jinsi watu wanavyomfikiria.  

'Niseme tu ukweli Lulu anaishi maisha  yake halisi na kila kitu ambacho unakiona kwa Lulu Diva ni mali yangu sina tabia za kuazima vitu, mimi ni mtafutaji na natumia mda wangu mwingi kuhangaika kutafuta vya kwangu sipendi kuigiza maisha"aliongea Lulu

Hata hivyo Lulu aliendelea kusema kuwa kwa upande wa magari kuna wakati natumia magari ya menejiment yangu ambayo ni kama magari ya office ninayofanyia kazi na sioni tatizo na hilo kwa kuwa mimi nafanya kazi na pia ni mmiliki wa baadhi ya magari ninayotumia.

Pia Lulu aliendelea kusema kuwa hajali maneno ya watu wanayoyaongeaa juu yake kwani anachikifanya ni kuhakikisha anawaziba midomo wote wanaomsema vibaya kuwa anaanzima vya watu na waamini kile anachokifanya maishani mwake.

Mtazame hapa chini Lulu akifunguka zaidi

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine