Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Upepo wa siasa hujaumiza wasanii - Cyril

Wednesday , 22nd Mar , 2017

Msanii Cyril Kamikaze ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake mpya wa 'Sinunui stress' amesema siyo kweli kwamba muziki unakosa 'promo' pindi yanapotokea masuala makubwa ya kitaifa kwa kuwa kila jambo linakuwa na wadau wake

Kamikaze

Hayo yamekuja kutokana na baadhi ya wasanii kulalamika wanasiasa wamekuwa gumzo kubwa kipindi hiki jambo ambalo linawafanya wanashindwa hata kutambulisha kazi zao mpya kwa hofu zilizowajaa kutopewa muda na mashabiki zao kuzisikiliza.

“Siku zote muziki umekuwa na nafasi yake, inapotokea suala kubwa la kitaifa na kupata 'pressure' ya juu,naamini  bado wapenzi wa muziki watapata nafasi ya kusikiliza wanachokipenda kwa sababu kuna muda unakuwa na mzuka. Hivyo utafanya yote lakini utarudi tu kusikiliza muziki". Alisema Cyril

Kwa upande mwingine msanii huyo amewataka mashabiki zake wamshauri pale anapokosea ili azidi kufanya vizuri nasio kum-'diss' kwa kumwambia aache aina ya muziki anaoufanya kwa kuwa hatowasikiliza.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine