Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunda aomba radhi mashabiki kwa tabia ya uzushi

Tuesday , 27th Sep , 2016

Msanii wa bongo fleva Tunda Man amewaomba radhi mashabiki zake baada ya kuwa na skendo ya kuzusha mambo yasiyo ya kweli.

Tunda Man

Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kutangaza kuwa yuko location aki'shoot movie ya “Mama Kijacho”, kwa kudai kuwa yuko pamoja na Riyama Ally na Mboto huku wasanii hao wakikanusha kushiriki katika filamu hiyo.

Akipiga story na eNewz Tunda amesea 'Mimi nilikuwa nikijaribu kulinda idea yangu ya Mama Kijacho isiibiwe na watu wengine, kwa kuwa bado nilikuwa sijalisajili'.

Tunda amesema alizusha uvumi huo ili kuzuia wasanii wengine wasitamani kufanya movie inayofanana na idea yake, lakini pia alitamani kutengeneza movie hiyo ila alidai kuwa alishindwa kutokana na kukosa ushirikiano toka kwa wasanii wengine.

Alisema “Naona watu kama hawanipi ushirikiano, wanaona kama nitapata pesa sana, hivyo nimeamua kuachana nao”.

Lakini pia Tunda hakusita kuzungumzia ngoma yake mpya ambayo alikuwa akiitangaza mitandaoni muda mrefu uliopita inayojulikana kwa jina la Mwanaume suruali, alisema “Video nili'shoot Mombasa lakini yule mtoto ambaye nili'shoot naye alikuwa mke wa mtu na hakutakiwa kuonekana katika video yeyote, hivyo ikanichelewesha kuachia ngoma hiyo”.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine