
Majaji wakiwa makini taytari kwa kuchagua Wanamitindo watakaoshiriki Swahili Fashion Week 2014.
Mchongo mzima umefanyika Msasani katika hoteli ya Sea Cliff ambapo wanamitindo wengi wamejitokeza kwaajili ya kuwania nafasi hii kubwa.
Vigezo ambavyo vimekuwa vikitazamwa kwa wanamitindo hawa ni urefu usiopungua sentimita 172 bila viatu virefu kwa wanawake na, sentimita zisizopungua 180 kwa mwanaume + muonekano wa kuvutia.
Usikose kutazama eNewz kesho, na kufuatilia Nirvana kuanzia wiki ijayo kujionea kilichojiri katika zoezi hili kwa ukamilifu.


