Monagenstar
Akipiga stoty ndani ya eNewz Mona amesema yupo kwenye hatua ya kuandaa wasanii na ma'producer kwa ajili ya mwakani kwa kuwa mwaka huu alikuwa kimya kwa muda mrefu na sababu ikiwa ni kuandaa kazi mbalimbali kwa mwaka 2017.
Hata hivyo Mona amesema studio ya CLASSIC SOUND ilianzishwa rasmi kwa ajili ya wasanii chipukizi na wazo lake hilo lilikuwa tangu anaanzisha studio hiyo hakuwa na lengo la kufanya kazi na wasanii ambao tayari wamefanikiwa.