Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sitakuwa na mwanume Tanzania - Chuchu Hansy

Wednesday , 8th Nov , 2017

Muigizaji wa filamu bongo Chuchu Hansy ambaye pia ni mzazi mwenzake Vicent Kigosi (Ray) amesema iwapo akiachana na Ray hatokuwa na mwanaume wa Tanzania tena.

Chuchu Hany ameyasema hayo alipokuwa akipiga Story na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba iwapo ataachana na mwenza wake huyo, hatakuwa kwenye mahusiano tena na mtu yeyote hususan wa hapa Tanzania.

"Kuachana kupo kwa sababu kila kitu Mungu ndio anapanga, kwa hiyo mimi siwezi kushindana na Mungu, kama ikitokea itakuwa imefikia mwisho wetu, sidhani kama nitakuwa tena na mwanaume tena hapa Tanzania, sidhani, yaani sijui kama nitaingia kwenye mahusiano, nitakaa muda mrefu bila mahusiano", amesema Chuchu Hansy.

Pamoja na hayo muigizaji huyo amekanusha tetesi za kuachana na mzazi mwenzake Ray Kigosi, baada ya kuwa na tetesi kuwa wawili hao wameachana.

 

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali