
Mkuu wa Matukio kutoka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Kwerugira Maregesi
Bw. Maregesi amesema kuwa, BASATA imekuwa ikitoa wito kwa wasanii hawa kwenda shule bila mafanikio, akieleza kuwa sanaa sio eneo la kukimbilia kwa kuangalia wasanii waliofanikiwa, na hivyo kujaza wasanii wasiojua miiko ya sanaa.
