Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyumba ya Fid Q yanusurika kubomolewa

Saturday , 17th Feb , 2018

Mwenyekiti wa serikali za mtaa wa Mbweni Teta, Abdallah Mrisho amefunguka na kudai sio kweli nyumba ya msanii Fid Q imejengwa katika kiwanja kisicho rasmi kwa shughuli za makazi bali watu wanafananisha na eneo hilo na nyumba ya serikali za mtaa huo.

Mrisho ametoa ufafanuzi huo wakati alipokuwa anazungumza na eNewz kutoka EATV baada ya kuibuka tetesi kuwa Fid Q ameingizwa 'mkenge' kwa kuuziwa kiwanja kisicho rasmi katika shughuli za makazi na kulazimika nyumba hiyo aliyojenga kuvunjwa ili kupisha shughuli za serikali ziweze kufanywa.

"Kwa ufahamisho tu zaidi katika upande wa 'block 4' nyumba ya kwanza kabisa ni ya Fid Q na ya mwisho kabisa katika mtaa huu naishi mimi mwenyewe. Labda niwatoe wasiwasi kwa wale waliokuwa wanasikia kwamba Fid Q amejenga nyumba katika eneo la wazi na nyumba kuwa ipo hatari kuvunjwa niseme tu hapana labda hawakuweza kupambanua kati ya nyumba yake na nyumba ya ofisi za serikali za mtaa kwa sababu hivi vitu vinashabiana", amesema Mrisho.

Kwa upande wake, Fid Q alipofuatwa kuzungumzia suala hilo hakuweza kusema lolote zaidi ya kusema anashukuru.

Mtazame hapa chini Fid Q akishikwa na kigugumizi kuzungumzia suala hilo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine