Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nimechagua kuwa huru - Nay wa Mitego

Wednesday , 11th Oct , 2017

Msanii Nay wa Mitego amewataka mashabiki wake wamuache apumue kwa kumsakama kwamba kafulia, huku akisema maisha anayoishi sasa ameyachagua na anakuwa huru zaidi.

Akiongea na mwandishi wa East Africa Television, Nay amesema maisha ya kutembea kwa miguuu au kupanda bajaji ni maisha yake aliyokulia, kwani hata marafiki zake ni watu wa kawaida, na pia hapendi kuishi maisha ya umaarufu kama ambavyo wasanii wengi wanafanya.

"Jamai niacheni nipumue, haya ndio maisha yangu niliyoyachagua, kupanda bajaji au daladala ni sehemu ya maisha yangu, mimi nimetokea mtaani siwezi kuishi bila kuheshimu mtaa, hata marafiki zangu ukiwaangalia ni wa kawaida sana, kwa hiyo kutembea kwa miguu isiwe sababu, halafu kama hujagundua mimi napenda maisha ya kawaida, siishi kistaa kama wengine, na pia nikiishi hivi nakuwa huru zaidi", amesema Nay wa Mitego.

Hivi karibuni msanii huyo amekuwa akiandamwa na badhi ya watu kwa kuuza magari yake na kuonekana akitembea kwa bajaji au miguu sehemu mbali mbali. 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine