Kocha wa Liverpool ya Uingereza Arne Slot raia wa Uholanzi  ameweka rekodi  ya Kuwa  Mkufunzi  wa kwanza kushinda michezo 11 kati ya 12 iliyocheza mwanzoni mwa msimu  na kuweke rekodi ya klabu hiyo

24 Oct . 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene

24 Oct . 2024

Klabu ya Namungo ya Ruangwa mkoani Lindi imemtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha wao mkuu kuchukua nafasi ya Mwinyi Zahera ambaye amepangiwa majukumu mengine ndani ya klabu hiyo

24 Oct . 2024

Mfungaji bora wa muda wote wa NBA LeBron James usku wa jana Oktoba 22, 2024 aliweka rekodi nyingine  kwenye ligi ya kikapu Marekani maarufu NBA. King aliweka rekodi ya  kuchangia uwanja na mwanawe LeBron ‘Bronny’ James Jr mwenye umri wa miaka 20 kwenye mchezo uliozikutanisha  LA Lakers dhidi ya Minnesota TimberWolves  waliposhinda vikapu 110 kwa vikapu 103.

23 Oct . 2024

Nyota wa Real Madrid ya Hispania Vinicius Junior usiku wa jana Oktoba 22, 2024 aliushangaza ulimwengu wa Soka baada ya kuonyesha kiwango bora kwenye mchezo wa ligi ya Mabingwa barani Ulaya dhidi ya Borrusia Dortmund uwanja wa Santiago Bernabeu. Vini alifunga magoli matatu na kuiongoza Madrid kupata ushindi wa goli 5-2.

23 Oct . 2024

Klabu ya Coastal Union ya Tanga  imemtangaza Juma Mwambusi kuwa kocha mkuu wa timu hiyo baada ya kumfuta kazi aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo David Ouma raia wa Kenya mwezi Agosti 2024. Kikosi hiko cha Wagosi wa Kaya kilikuwa chini ya Joseph Lazarao ambaye alikaimu kwa muda kipindi ambacho timu hiyo ilipokuwa inatafuta Mwalimu Mkuu.

23 Oct . 2024

Pichani ni msanii Ruger na Bob Marley

23 Oct . 2024