Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay wa Mitego akumbana na rungu la BASATA

Monday , 27th Mar , 2017

Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa msanii Nay wa Mitego unaojulikana kwa jina la 'Wapo' kutumika kwa namna yoyote ile kuanzia leo kutokana na kutokidhi vigezo na masharti yaliyowekwa na baraza hilo.

Katibu Mkuu wa Baraza hilo Bwana Geofrey Mngereza (kushoto) na Msanii Nay wa Mitego

Katibu Mtendaji wa baraza hilo Bwana Geofrey Mngereza ametoa tamko hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam na kutoa wito kwa wananchi na wadau kuacha kutumia kazi zilizopigwa marufuku kwani wakibainika hatua kali dhidi yao itachukuliwa.

“Kwa wale ambao watabainika wanatumia kazi hizi zilizopigwa marufuku ikiwa katika radio stesheni, bodaboda, mtaani hata katika ‘club’ hatua kali zitachukuliwa  dhidi yao kwa sababu wanaendelea kutumia vitu ambavyo vimefungiwa na baraza”. Alisema Godfrey

Pamoja na hayo Katibu huyo amefuta ile kauli yake aliyosema kuwa Nay wa Mitego na Prof Jay ndiyo wanaongoza kupeleka kazi zao kukaguliwa kabla ya kutoa na kusema alikuwa anawatolea mfano tu na laiti ingekuwa hivyo basi  msanii huyo angeshauriwa mapema kuwa wimbo huo haufai kutolewa kwa kukosa vigezo.

Aidha Katibu huyo amesema watamwita Nay wa Mitego ili kumpa nafasi ya kumsikiliza kwa upande wake ili aweze kusema ni kwanini ametoa wimbo wa aina hiyo.

Kwa upande mwingine Mngereza amesema wao na Jeshi la Polisi hawana uhusiano wowote kwa kuwa kila mtu anaongozwa na sheria zake alizokuwa nazo hivyo hata kukamatwa kwa msanii huyo amekamatwa kwa mujibu wa sheria za polisi na siyo BASATA.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali