Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Muziki wangu una thamani kubwa" - Alikiba

Thursday , 15th Dec , 2016

Msanii Alikiba ametoa sababu inayomfanya akae muda mrefu bila kutoa kazi mpya, tofauti na wasanii wengi wa bongo wanavyofanya.

Alikiba (Katikati) mara baada ya kupokea tuzo

 

Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio mara baada ya kunyakua tuzo tatu katika usiku wa EATV Awards, Alikiba amesema anafanya hivyo kwa ajili ya utofauti wa kazi zake na pia muziki wake una thamani kubwa sana.

“Ni kwa sababu ya utofauti tuliokuwa nao, I believe mi muziki wangu una thamani kubwa sana, kwa hiyo bidhaa yangu inapokaa muda mrefu siwezi kuleta bidhaa nyingine kwa sababu hii ya kwanza haijaisha, nataka watu wapate watosheke ili wakiridhika ndio niweze kutoa nyingine, nitapata hasara kama nitatoa bidhaa nyingine ikawa ni nzuri zaidi ya mwanzo, iliyopita ambayo haijaisha hata utamu ikaisha, nitakuwa nimejitia hasara”, alisema Alikiba.

Pia Alikiba amesema muziki kwake ni biashara na una siri kubwa, na ukifanya kwa ushindani hakutakuwa na muziki mzuri.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine