
mbunifu wa mavazi nchini Tanzania Jamila Vera Swai
Mbunifu huyu ambaye naye pia atashiriki katika maonesho ya Swahili Fashion Week kwa mwaka huu, amesema kuwa katika kuthibitisha hili mitindo yake kwa mwaka huu itatangaza zaidi utanzania ikiwa ni mitindo rahisi na yenye kuendana na uhalisia.