
nyota wa muziki nchini Tanzania Mayunga akiwa stejini na staa wa muziki Akon
Mayunga amesema kuwa, Mpango huo utaanza baada ya Akon kupata nafasi nzuri na yeye, akiwa sasa ameanza kutikisa chati ndani na nje ya nchi kupitia video yake kali ya wimbo wa 'Nice Couples' ambayo ilianza kupigwa nje ya nchi, kwa maneno yake akieleza kuwa haya ni matunda ya usimamizi mzuri.
Kuhusiana na yote hayo, Mayunga anaeleza mwenyewe akianzia na tathmini ya mapokezi ya rekodi yake hiyo.
