
Afrika Darndl
Martina amesema kuwa, amevutiwa kushiriki katika maonesho ya Swahili fashion Week yatakayoanza tarehe 15 mwezi ujao kutokana na umaarufu wake huku vilevile akiweka wazi kuvutiwa sana na mitindo ya mbunifu Anne Kiwia kutoka hapa nchinI.