Filamu mpya ya 'Maisha ni Siasa' inayotarajiwa kuwagusa watanzania katika uzinduzi wake hivi karibuni
Filamu hiyo ambayo inazungumzia umuhimu wa mchakato wa kiasiasa ambapo kila mmoja anaathirika kwa namna moja au nyingine kisiasa imeshirikisha wasanii nyota na wengine chipukizi ambao hawajawahi kuigiza Bahati Chando, Godwin Gondwe, Haton Kamwoga na wengine wengi.
Enewz imeongea na Mtayarishaji mahiri wa filamu nchini Tanzania Paul Mashauri ambaye amekuwa na haya ya kusema kuhusiana na filamu hii ambayo inatarajia kuwafikishia ujumbe kwa Watanzania kuelekea katika uchaguzi mkuu wiki
hii.


