
Producer Lamar
Lamar amesema kurejea kwake kutasaidia muziki wa Bongofleva kupiga hatua zaidi kwani kuna kitu chake cha tofauti anaamini kinakosekana kwasasa.
Kwa upande mwingine, Lamar amesema zipo kazi nyingi ambazo zipo Library alifanya na msanii mkongwe Chid Benz hivyo atazifanyia kazi na zitamrejesha mkali huyo wa michano.