Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jay Moe: Pesa madafu ni jibu kwa watu hawa

Monday , 20th Mar , 2017

Mkongwe wa hip hip Bongo 'Jay Moe' ameweka wazi kilichomfanya yeye kufanya video kali ya 'pesa ya madafu' ni ili kuwathibitishia uwezo wake wale waliokuwa wakimsema kuwa hana uwezo wa kutengeza kazi nzuri.

Jay Moe

Akizunguza leo East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet Bongo alipokuwa katika 'Dakika Kumi za Maangamizi', Jay Moe amesema kuwa vijana wa sasa wengi wana mawazo ya kwamba wakongwe waliopo kwenye 'game' ya bongo hawana uwezo wa kutengeneza video ambazo zinaweza kupendwa na watu wengi kama wafanyavyo wasanii wa sasa.

"Zamani sisi tulikuwa tunashindana kuandika mistari, tunamtafuta mkali wa mashahiri, hiki kizazi cha video kali kilipokuja wakaanza kutudharau wakongwe kuwa hatuna uwezo wa kufanya kama wao lakini dharau zikazidi kuwa wasanii wa 'generation' yangu hatuna pesa ndipo nikaamua kutengeneza kichupa cha pesa ya madafu kikali kuwa- 'prove wrong". Alisema Jay Moe.

Jay Moe ndani ya EA Radio

Pamoja na hayo Jay Moe ameelezea kilichokuwa kikimfanya miaka ya nyuma kushindwa kufanya video nzuri kuwa ni kwa sababu alikuwa chini ya lebo (Bongo Record) hivyo bajeti zote alikuwa akipangiwa tofauti na sasa ambapo anajisimamia peke yake.

"Ukiwa chini ya uongozi kila kitu unapangiwa, kwa hiyo hata bajeti nilikuwa napangiwa, mwaka 2010 niliwaambia wenzangu mimi najipanga kwanza na maisha sitaki kuja kuaibika baadaye kwa kutokuwa na maendeleo, sasa hivi hata ukiniona sipigi show lakini nina uwezo wa kwenda kufanya video South kesho kwa sababu ya uwekezaji niliokimbilia kuufanya kipindi nipo kimya". Jay Moe.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine