
msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Hisia
Hisia ameweka wazi kuwa, rekodi zinazohusu mambo mengine zipo isipokua kuachiwa kwake kunahitaji mipango na akiwa kama msanii anaona dhahiri kuwa suala zima la mapenzi katika muziki hugusa hisia za watu na pia kuuza haraka tofauti na rekodi ambazo huwa zinazungumza juu ya mambo mengine ya kijamii.
