YAMOTO BEND
Akipiga stori na eNewz Asley amesema “Tumetoa ngoma yetu mpya kwa sababu ilikuwa ni nadhiri yetu, tulisema ikifika miaka mitano ya Mkubwa na Wanawe ni lazima tutoe wimbo”.
Hata hivyo Dogo Asley alisema watu wasielewe vibaya kama wanavyohisi kwamba ngoma yao iitwayo SUU walioifanya na Ruby haijakubalika na ndio sababu wakaamua kutoa nyimbo nyingine bila kuchelewa.


