msanii wa muziki wa nchini Uganda Desire Luzinda
uwepo wa Desire nchini humo, umekuwa pia ni nafasi ya kuonesha ulimwengu kuwa hali hiyo ya machafuko imedhibitiwa na pia kurejesha imani na upendo kwa taifa hilo ambayo ilianza kupata madoa nje ya mipaka yake.
Desire atatumbuiza nchini humo tarehe 30 mwezi huu kabla ya kuelekea Dubai na baadaye Marekani kuendelea kuutangaza muziki wa Afrika Mashariki.