Wednesday , 14th May , 2014

Msanii Cyril ambaye ngoma yake aliyoipatia jina la "Alowa" ambayo imeendelea kupokelewa vizuri katika vituo mbalimbali, ameeleza jitihada ambazo aliwekeza kabla ya kuachia wimbo huu. Mashariki.

Cyril

Amesema lengo la kufanya ni ili kuuweka muziki wake katika ramani ya soko la muziki Afrika.

Cyril amesema kuwa, ziara yake ya hivi karibuni katika nchi za Uganda na Kenya, imemkutanisha na wadau wakubwa wa muziki ambao aliwapatia nafasi ya kusikiliza kazi hii, na kuipitisha kama kazi ambayo inaweza kuleta mtikisiko katika chati za muziki Afrika Mashariki.

Hapa Cyril Kamikaze anazungumza juu ya mpango huu;

Tags: