
Bee Man
eNewz tumeongea na Bee Man akiwa safarini kuelekea msibani siku ya leo, ambapo ametoa taarifa hizo rasmi kwa mashabiki wake kama anavyoeleza mwenyewe hapa.
ENewz tunamtakia faraja Bee Man katika kipindi hiki kigumu na yeyote yule anayeguswa na msiba huo kwa namna moja ama nyingine, na tunaitakia roho ya marehemu mapumziko mahala pema peponi Aamin.