Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Barnaba ajibu kejeli za mama mtoto wake

Sunday , 13th Aug , 2017

Mwanamuziki anayesumbua kwa sasa na ngoma ya 'Tunafanana' Barnaba Elias 'Barnaba Classic' ametupa jiwe gizani linalodaiwa kuwa ni dongo kwa mzazi mwenzake baada ya kufunguka kwenye mtandao kuwa kumtukana mwanamke ni sawa na kumtukana mzazi wake.

Msanii Barnaba Classic

Dongo hilo Barnaba ameliweka kwenye ukurasa wake wa Instagram baada ya mzazi mwenzke huyo kudai kuwa baada ya miaka mtano kupita hatimaye sasa amefanikiwa kupata amani ya moyo ambayo ndicho kitu alichokuwa akikikosa kwa muda wote.

Barnaba ameandika "Mama aliniambia ukimtukana mwanamke basi umenitukana na mimi. Siku zote nawaona kama mama zangu hongera wanawake wote duniani Salamu zangu juu yenu Jumapili ya leo nawapenda Sana"

 

Ujumbe wa Barnaba aliouweka Instagram leo hii baada ya ujumbe wa Mzazi mwenzake

Mzazi mwenzake Barnaba, Zuu Namela ambaye walibahatika kupata mtoto wa kiume 'Steve' leo asubuhi aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kisha kufuta ujumbe huu.

"Ni watu wachache sana wanaojua nikitu gani nilikua nakosa katika maisha yangu! Unaweza ukapata kila kitu kwenye maisha ila ukakosa furaha,amani,heshima......kwa zaidi ya miaka mitano hichi ndo nilicho kuwa nakitafuta #AMANIYAMOYO " 

Ujumbe wa mzazi mwenzake Barnaba, Bi Zuu Namela kabla ya kuufuta.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine