Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zaidi ya 500 hawana kazi 800 kikaangoni NIDA

Tuesday , 8th Mar , 2016

Mamlaka ya Taifa ya Vitambulisho nchini Tanzania(NIDA),imetangaza kusitisha mikataba ya Wafanyakazi 597 kutokana na uzalishaji kuwa chini ya ufanisi usioendana na idadi ya wafanyakazi walio katika Mamlaka hiyo.

Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dk. Modest Kipilimba akijitambulisha kabla ya kuanza kikao cha Watendaji Wakuu wa NIDA.

Akiongea jana Jijini Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Nida, Dkt. Modest Kipilimba amesema pia wafanykazi 802 wa kudumu watafanyiwa tadhimini ya utendaji wao wa kazi na huenda wafanyakazi wengine watarudishwa utumishi ambako watapangiwa kazi nyingine.

Dakta Kipilimba amesema kuwa Mamlaka imekuwa ikizalisha vitambulisho 1200 kwa siku badala ya vitambulisho 24000 kwa siku jambo ambali ni sawa na uzalishaji wa wa chini ya asilimia kumi hivyo kuisabishia hasara mamlaka hiyo.

Aidha Mkurugenzi huyo ameongeza kuwa katika uboreshaji wa utoaji wa vitambulisho hivyo wameongea na tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),ambao wamekubali kuwapatia mashine 5000,ambazo zilikuwa zinafanyiwa matengenezo.

Amesema kuwa mashine hizo zitasaidia kuongeza kasi ya kufikia wananchi wengi zaidi na kuwapatia vitambulisho lengo ikiwa ni kuhakikisha watanzania wote wanakuwa na vitambulisho vya taifa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine