Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake Mtwara kunufaika na Chandarua Kliniki

Thursday , 26th May , 2016

Wanawake wajawazito na watoto wenye umri wa miezi 9 mkoani Mtwara wanatarajiwa kunufaika na mpango wa Chandarua Kliniki unaotekelezwa na mradi wa kimataifa wa Vectorworks, wenye lengo la kuongeza upatikanaji na matumizi ya vyandarua vyenye viuatilifu

(Picha na Maktaba)

Akizungumza na waandishi wa habari katika utambulisho wa mpango huo katika Hospitali ya rufaa ya Ligula, Mganga mkuu wa mkoa wa Mtwara, Dkt. Wedson Sichalwe, amesema walengwa watapatiwa vyandarua hivyo bila malipo yoyote wakati wakuudhuria Kliniki.

Kwa upande wake, Afisa habari elimu na mawasiliano kutoka wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto, Theresia Shirima, amesema kiwango cha maambukizi ya malaria kitaifa kwa sasa ni asilimia tisa ambapo lengo ni kufikia asilimia moja ifikapo mwaka 2020.

Mpango wa Chandarua Kliniki unaosimamiwa na wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto kupitia mpango wa taifa wa kudhibiti malaria, unatarajiwa kuzinduliwa Mei 28 katika uwanja wa Mashujaa mkoani Mtwara huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa mkuu wa mkoa wa Mtwara, Halima Dendego.

HABARI ZAIDI

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12