Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanahabari nao watinga mahakamani kupinga sheria

Wednesday , 18th Jan , 2017

Muungano wa  klabu za waandishi wa habari nchini  UTPC Kwa kushirikiana na wadau wa habari  wamefungua  kesi kwenye mahakama kuu kanda ya Mwanza kupinga sheria mpya ya huduma za vyombo vya habari ya mwaka 2016

Wanahabari wakiwa kazini

Wadau hao wanadai kuwa sheria hiyo imekiuka Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 18 inayotoa haki na uhuru wa mtu kutoa na kupata taarifa.

Akizungumza kutoka katika mahakama hiyo mwanasheria Jebra Kambole amesema katika kesi hiyo ya kikatiba namba mbili ya mwaka 2017 inayosimamiwa na wanasheria 6 wakujitegemea imelenga kuishinikiza serikali kufanya marekebisho ya baadhi ya vifungu kwenye sheria hiyo kikiwepo kifungu namba 8,35 hadi 39 na 52 hadi 59  vya sheria ya huduma za vyombo vya habari namba 12 ya mwaka 2016.

 Kesi hiyo inafunguliwa ikiwa ni siku chache tangu wadau wengine wafungue kesi  kwenye mahakama ya Afrika Mashariki jijini Dar es Salaam huku wadau wa habari wakiendelea kutilia mgomo kushiriki mchakato wa kutunga kanuni za sheria hiyo.

Wasikilize hapa

  1. Jebra Kambole - Mwanasheria
  2. Jane Mihanji - Makamu wa Rais UTPC
  3. Abubakar Karsan - Mkurugenzi Mtendaji UTPC

 

 

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine