Thursday , 10th Nov , 2016

Hisa katika soko la hisa barani Ulaya zimeshuka baada kufunguliwa kwa  siku ya uuzwaji wa bidhaa kati ya masoko ya Asia na ya Marekani.

Donald Trump

 

Hali hiyo inakuja baada ya ushindi wa Donald Trump ambao unatarajiwa utaleta mabadiliko katika sekta za biashara na ushirikiano baina ya mataifa hayo mawili.

Mauzo ya hisa katika masoko ya FrunkFurt na Paris yameshuka kwa asilimia 1 huku wakati masoko ya Japan yakionesha kupanda kwa asilimia 6.7