Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tutajenga Mabweni kumuokoa mtoto wa kike-Jaffo

Monday , 16th May , 2016

Serikali imesema ili kumuokoa mtoto wa kike kukatiza masomo yake kwa kupata mimba zisizotarajiwa itajenga mabweni katika maeneo ya jirani wanayosomea watoto hao pamoja na kuwashirikisha wazazi.

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Seleman Jaffo.

Akizungumza lBungeni mjini Dodoma wakati akiongezea mchango wa swali lililoelekezwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Seleman Jaffo amesema serikali imepanga kutokomeza kabisa tatizo hilo linalokatiza ndoto za elimu ya watoto wengi wa kike nchini.

Mhe Jaffo amesema kuwa licha ya kujenga majengo hayo kwa ajili ya watoto wa kike lakini pia wanaanda mpango wa kuwa na nguvu ya pamoja na wazazi wa watoto hao ili kutokomeza tatizo hilo.

Naibu Waziri huyo amesema watoto wengi wanapenda kupanga mitaani kwa ajili ya kujisomea jambo ambalo linawafanya kuwa karibu na vishawishi vinavyowapelekea kujiiingiza katika mahusiano yanayoishia kukatiza ndoto zao.

Awali akijibu swali lililoelekezwa katika wizara yake Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe Hamisi Kigwangalla amewataka viongozi wote watilie mkazo katika halmshauri wanazotoka ili kumaliza suala hilo na si kusubiri kutoka serikali kuu pekee.

HABARI ZAIDI

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12