
Akiongea na waandishi wa habari hii leo Katibu Mkuu wa SHIVYATIATA Bw. Othman Shem amesema kuwa wao wanajiandaa kufanya mkutano mkubwa utakaojadili namna nzuri ya kukabiliana na maujia hayo huku wakiendelea kupeana elimu.
Katika hatua nyingine SHIVYATIATA hivi sasa wamepiga marufuku shughuli za kupiga ramli ziklizokuwa zinafanywa na baadhi ya waganga wa tiba asili kwani ramli zimeonekana kuleta migogoro mingi na mauaji kwenye jamii.