Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yazipiga marufuku halmashauri

Saturday , 18th Nov , 2017

Serikali imepiga marufuku halmashauri zote nchini kuingia makubaliano na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali(NGO’S) bila kupitia na kuidhinishwa na Ofisi ya Rais, Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa( TAMISEMI ).

Kauli hiyo imetolewa mjini Tabora na Naibu Katibu Mkuu (ELIMU) Ofisi ya Rais, Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (TAMISEMI) Tixon Nzunda wakati akizungumza na watendaji  na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora.

Nzunda amesema kwenye baadhi ya NGO’s mambo yamekuwa hayaendani na vipaumbule vya serikali ambavyo ni kuwasaidia wananchi badala yake NGO’s zimekuwa zinakwenda tofauti na kujinufaisha zenyewe.

Ameongeza kuwa kabla ya kuanza utekelezaji wa shughuli za NGO’s ni vyema halmashauri zikapeleka (TAMISEMI) maombi ya mashirika ambayo yameomba kufanyakazi katika maeneo yao ili serikali ione kama kweli inaendana na vipaumbele ambavyo imepanga katika kuboresha maisha ya watanzania ambao maisha yao yako chini.

Aidha ameeleza Mashirika ambayo yana nia ya kweli ya kusaididia watanzania lazima yakubaliane na vipaumbele vya serikali ili yaweze kufanya kazi nchini vinginevyo ni vyema yakatafute nchi nyingine ya kufanya mambo yake bila kufuata utaratibu wa nchi husika.

Naibu Katibu Mkuu huyo yupo katika ziara ya kikazi katika Mikoa ya Kigoma, Tabora na Singida kwa lengo ya kuhimiza usimamizi bora wa sekta ya elimu, kilimo, mifugo na utawala bora.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine