Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Raia 7 wa China watimuliwa nchini

Tuesday , 14th Feb , 2017

Idara ya Uhamiaji Kanda ya Dar es Salaam, imewataka raia 7 wa China kuondoka nchini kutokana na kukiuka taratibu sheria za ukazi, huku raia mmoja wa Uganda akishikiliwa kwa kuwa na hati 15 za kusafiria za Burundi na Madagascar kinyume cha Sheria

Kamishna John Msumule

 

Kamishna wa Uhamiaji Kanda ya Dar es Salaam, John Msumule, amewaambia waandishi wa habari kuwa, mbali na raia hao wa China pia wanawashikilia raia wengine 25 wenye asili ya ki-Asia kwa kufanya kazi nchini kinyume cha sheria na kwamba watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili wao pamoja na waajiri wao.

Aidha, Kamishna Msumule amesema, wanawashikilia waajiri wawili kwa kosa la kuwatumikisha raia wa kingeni bila kibali na kuwataka waajiri kote nchini kuhakikisha wanafuata taratibu za uajiri kabla ya kuingiza raia wa kigeni kwani idara hiyo haitawafumbia macho.

Katika hatua nyingine Kamishna Msumule amesema wanapanga kuwataja hadharani maafisa wa idara hiyo ambao wamekuwa siyo waminifu wakishirikiana na wahamiaji haramu kughushi nyaraka za ukazi na vibali vya kazi kwa lengo la kuongeza uwajibikaji katika idara hiyo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine