Sendeka ameruhusu kufanya kazi bajaji baada ya kusimamishwa na mamlaka ya usafirishaji wa Majini na Nchi kavu Sumatra ambapo walisimamishwa kwa mujibu wa sheria ya bajaji na pikipiki ya mwaka 2010.
Aidha Madereva hao wa bajaji wamedai kuwa walipeleka katika vituo ambavyo wanadai kuwa havikuwa na maslahi kwao na kwa biashara yao na hakukuwa rafiki kimiundombinu.
Hata hivyo wamiliki wa bajaji Mjini Njombe wamesema kuwa kwa muda wa wiki moja hawajaingiza fedha yoyote na kusema serikali imefanya vyema kutoa maamuzi hayo.